Maswali: Surah-Du'aa
Surah-Du'aa
Uzushi Wa Adhkaar Kila Baada Ya Rakaa Mbili Au Nne Za Swalaah Ya Taraawiyh
SWALI:
assalam aleikum. amma baad nina maswala machache kuhusu ramadhan na yalyomo ndani yake.
je kunao adhkar ambazo mtume Salla-Allah alayhi wa sallam alizileta baada ya kila rakaa mbili za taraweeeh kama ifuatayo?
Suwrah Gani Kusoma Katika Swalaah Ya Tahajjud Na Witr?
SWALI:
Salaam Aleiqum,
Ningependelea kujua ni sura gani hasa zilizosuniwa katika sala ya witri? Ukiwacha Sabih.
Duaa Ya Tashahhud Katika Swalaah Ni Ipi Sahihi?
SWALI:
Assalamu alykum,
tulifundishwa madrasa kusema (attahiyatu, almubarakatu, aswalawatu,
atwayibathu lillah....) je hivi ni makosa, maana maagizo yanasema
(atahiyatu lillah, waswalawatu, watwayibatu..)
JIBU:
Kwa Nini Qunuwt Inasomwa kwa Sauti
SWALI:
Nimejadiliana na mwenzangu kuhusu aya hii, akaniuliza swali nimeshindwa kujibu, hivyo nahitaji usaidizi kwenu. Aniuliza mbona Qunut inasomwa katika swala ya witri kwa sauti nazo pia ni dua?
Wa shukran
Du’aa Ya Swaalatul-Istikhaarah Ni Kabla Ya Salaam Au Baada Ya Kumaliza Swalaah
SWALI:
Swalah ya Istikhara. Dua ya swalah ya Istikhara insomwa kabla ya kutoa salamu baada ya kutoa salam?
Amfuate Imaam Anaporukuu Japokuwa Yeye Maamuma Hakumaliza Suwratul Faatihah?
SWALI:
Asalam alaikum!
Kuomba Duaa Baada Ya Swalaah Na Kunyanyua Mikono Inajuzu?
SWALI:
Assalam Alleykum je ni sahihi kujiombea dua peke baada ya Swala Kwa kunyanyua mikono juu
JIBU: