Zingatio: Kila Mmoja Ni Mchunga
Naaswir Haamid
Zingatio La Wiki,
Zingatio: Kila Mmoja Ni Mchunga
Naaswir Haamid
Zingatio: Toa Swadaqah Kwa Ajili Ya Allaah
Naaswir Haamid
Zingatio: Shindaneni Katika Kheri
Naaswir Haamid
Zingatio: Ulichoandikiwa Utapatiwa
Naaswir Haamid
Zingatio: Bado Mali Haijaisha….Endelea Kuitafuta!
Naaswir Haamid
Zingatio: Kama Wewe Humuoni Yeye Anakuona
Naaswir Haamid
Zingatio: Maisha:Siku Moja Au Sehemu Ya Siku
Naaswir Haamid
Zingatio: Sio Kila Kitu Kinaonekana
Naaswir Haamid
Binaadamu ni kiumbe aliyejawa na nyingi harakati. Muda tu anapozaliwa huwa ni mwenye kuwaza na mwenye matarajio kila aina. Wanaadamu wote wamejawa na shughuli za kufanya ikiwa ni mwenye akili au mwendawazimu. Lakini mbona hatujiulizi ni kwanini tumejawa na shughuli hizi na nini athari zake? Na kwanini huyo aliye na akili shughuli zake zinafanana na mwendawazimu?