Buluwgh-Al-Maraam

 

 

  

 

 

 

Buluwgh Al-Maraam ni mkusanyiko wa Hadiyth zenye hukmu za ki-Fiqhi, alizozikusanya Imaam Al-Haafidwh Ibn Hajar Al-‘Asqalaaniy (رحمه الله) aliyezaliwa mwaka 773H mji wa Cairo.

 

Hutokuta katika Buluwgh Al-Maraam Hadiyth zinazohusiana na ‘Aqiydah kama kuhusu Rusuli  wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) na Manabii, Malaika, Majini, Jannah, Moto na kadhaalika. Bali ni Hadiyth zinazohusiana na hukmu za ‘ibaadah na mi’aamalaat.

 

Historia Fupi Ya Imaam Ibn Hajar ‘Asqalaaniy (رحمه الله)