Wakati Gani Inasomwa Du’aa Ya Kufungulia Katika Swalaah Ya ‘Iyd?
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
"Du’aa ya kufungulia Swalaah inasomwa baada ya Takbiyrah Al-Ihraam na ni jambo lenye wasaa katika hili hata ikiwa atachelewesha kusoma du’aa ya kufungulia pale mwishoni mwa Takbiyrah hakuna ubaya."
[Majmuw’ Al-Fataawaa (16/240)]