Kauli Za Salaf: Taqwa-Ikhlaasw
Wanaomtii Allaah Na Rasuli Wake Wakathibitika Katika Haki Ndio Vipenzi Vya Allaah
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
Kila anayemtii Allaah na Rasuli Wake na akathibitika katika haki basi huyo ni miongoni mwa vipenzi vya Allaah.
[Sharh Kashf Ash-Shubuhaat, uk. 4]