Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah
Kuzungumza Juu Ya Watu Kuwe Kwa Uadilifu Hata Kwa Unaokhitalifiana Nao
Shaykh Al-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)
“Kuzungumza juu ya watu ni wajibu kuwe kwa elimu na uadilifu, na si kwa ujinga wala kwa dhulma kama ilivyo hali ya watu wa bid’ah.”
[Minhaaj As-Sunnah, mj. 4, uk. 337]