Kauli Za Salaf: Taqwa-Ikhlaasw
Miongoni Mwa Sababu Za Usalama Wa Moyo Kutokujishughulisha Na Mambo Ya Dunia
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema:
“Miongoni mwa sababu za usalama wa moyo ni kutokuushughulisha moyo wako na mambo ya dunia.”
[Al-Qawl Al-Mufiyd (1/232)]