Kusamehewa Madhambi Baada Ya Tawbah
Swali:
Asalaam alaykum
Swali langu ni kwamba, eti Allaah anasamehe dhambi zote kama mtu akitubu, (na dhambi kama kuua) Allaah azidi kutuongoza
Jibu:
Maasi
Kusamehewa Madhambi Baada Ya Tawbah
Swali:
Asalaam alaykum
Swali langu ni kwamba, eti Allaah anasamehe dhambi zote kama mtu akitubu, (na dhambi kama kuua) Allaah azidi kutuongoza
Jibu:
Du’aa Gani Kuomba Ya Kujiokoa Na Zinaa?
Swali:
Ni dua gani mtu anaweza kusoma ili apate mchumba mwema (mwanamuke awo mwanawume). Ni duwa gani mtu mzinifu anaweza kusoma ili Allah Amnusuru na zina?
Jibu:
Kuomboleza Katika Misiba Kwa Kujipiga Na Kuchana Nguo
Swali:
Asalam aleykum warahamtullah wabarakatu.
Kujiua Kwa Sababu Ya Mateso Na Dhiki Za Dunia Nini Hukmu Yake?
Swali:
Salam Alekum,
Napenda kuuliza nini hukumu ya wanojiua nafsi zao kutokana na mateso wanyoyapata na taabu. Ahsante!
Jibu:
Analewa Sana Ila Mwezi Wa Ramadhwaan Anaacha Kisha Anarudia Tena Baadae Nini Hukmu Yake?