Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Haijuzu Kusema Ilaahi Anta Jaahiy “Mwabudiwa Wangu Wewe Ni Jaha Yangu”

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn

 

Haijuzu Kusema Ilaahi Anta Jaahiy “Mwabudiwa Wangu Wewe Ni Jaha Yangu”

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

 

Nini hukmu ya kusema:

 

إلاهي أنت جاهي؟

 

Ilaahi Anta Jaahiy” (Ee Mwabudiwa Wangu, Wewe Ni Jaha Yangu)

 

 

JIBU:

 

Haifai kutumia kauli hiyo, kwa sababu maana ya neno hilo ni: “Wewe ni muombezi Wangu, sasa muombezi wako kwa nani?”

 

[Fataawaa Muhammad bin Swaalih Al-‘Uthaymiyn: Al-Kanz Ath-Thamiyn (Uk 12)]