01-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Anapougua Maradhi anayohofiwa kufa nayo

Anapougua Maradhi anayohofiwa kufa nayo
 
Mja anapougua na maumivu ya ugonjwa huo yakazidi ni ishara na onyo anayotoa Allah (Subhaanahu wa Ta'ala) kwa waja wake akiwakumbusha na kifo, ni ishara vile vile akiwaonyesha waja wake kuwa Yeye yu karibu mno nao na hayuko mbali kabisa, hivyo basi na waja hao kwa ishara hizi na watende matendo ambayo yatawakurubisha kwa Mola wao na yatakayowafaa baada ya kifo chao.
 
Katika jumla ya mambo ambayo yanampasa mgonjwa kufanya pindi maradhi yake yanaposhtadi na kukurubia kifo chake ni haya yafuatayo:
Share