01-Hadiyth Al-Qudsiy: Mja Wangu Ana Makazi Mazuri Kwangu Ananihimidi

Hadiyth Al-Qudsiy 

Hadiyth Ya 1

Mja Wangu Ana Makazi Mazuri Kwangu Ananihimidi

 

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ قَالَ:سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَقُولُ: ((إِنَّ اللَّهَ عَزَّ وَجَلَّ يَقُولُ: إِنَّ عَبْدِي الْمُؤْمِنَ عِنْدِي بِمَنْزِلَةِ كُلِّ خَيْرٍ يَحْمَدُنِي وَأَنَا أَنْزِعُ نَفْسَهُ مِنْ بَيْنِ جَنْبَيْهِ)) مسند أحمد

Imepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) kwamba nimemsikia Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: ((Allaah Aliyetukuka na Jalali Husema: “Hakika mja Wangu Muumini yuko katika kila makazi mazuri Kwangu. Ananihimidi hata Ninapomtoa roho baina pande zake mbili)) [Musnad Ahmad]

 

 

Share