09-Hadiyth Al-Qudsiy: Subira Katika Mshtuko Wa Kwanza Jazaa Yake Ni Jannah

Hadiyth Al-Qudsiy

Hadiyth Ya 9

Subira Katika Mshtuko Wa Kwanza Jazaa Yake Ni Jannah

 

عَنْ أَبِي أُمَامَةَ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ:  ((يَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ يَا ابْنَ آدَمَ: إن  َصَبَرْتَ وَاحْتَسَبْتَ عِنْدَ الصَّدْمَةِ الْأُولَى لَمْ أَرْضَ لَكَ ثَوابا دون الْجَنَّةِ)) ابن ماجه

Kutoka kwa Abu Umaamah ambaye amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Allaah Aliyetukuka na Jalali) Anasema: Ee bin-Aadam! Utakaposubiri na ukategemea thawabu katika mshtuko wa mwanzo, Sitoridhia thawabu yoyote kwa ajili yako ila ya Jannah) [Ibn Maajah]

 

 

Share