09-Imaam Ibn Baaz na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Sehemu Gani Inapaswa Kutekelezwa I’itikaaf?

Sehemu Gani Inapaswa Kutekelezwa I’itikaaf?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) na Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

09-. Sehemu Gani Inapaswa Kutekelezwa I’itikaaf?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Sehemu inayopaswa kutekelezwa I’tikaaf ni Misikitini ambayo inasimamishwa Swalaah za Jamaa’ah.

 

 

[Majmu’w Al-Fataawaa (15/42)]

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Katika kila Msikiti, ikiwa ni Misikiti inayoswaliwa Ijumaa au katika Misikiti isiyoswaliwa humo. Lakini iliyo bora ni iwe katika Misikiti inayoswalishwa humo (Jamaa’ah). 

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/155)]

 

 

Share