12-Imaam Ibn Baaz : Mwanamke Atekeleze Wapi I’tikaaf Akipenda Kufanya Hivyo?

Mwanamke Atekeleze Wapi I’tikaaf Akipenda Kufanya Hivyo?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

12-Mwanamke Atekeleze Wapi I’tikaaf Akipenda Kufanya Hivyo?

 

Mwanamke akitaka kutekeleza I’tikaaf, basi iwe katika Msikiti ambao hauna tahadharisho la ki-shariy’ah lakini ikiwa kuna tahadharisho la ki-shariy’ah basi asifanye I’tikaaf humo. 

 

 

[Majmuw’ Al-Faataawaa (20/163)]

Share