Imaam Ibn Baaz: Kutumia Tasbihi Kuhesabu Adhkaar

Kutumia Tasbihi Kuhesabu Adhkaar

 

Imaam Bin Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya kutumia tasbihi kwa ajili ya kumdhukuru Allaah?

 

 

JIBU:

 

Hatujui dalili yake katika Shariy’ah kutumia shanga kwa ajili ya kusabbih, kwa hiyo ni bora kuacha na kufuata Sunnah ambayo ni kuhesabu kwa kutumia vidole.

 

[Fataawaa Islaamiyyah (8/368)]

 

Tasbihi: Shanga zinazofungwa katika uzi au kamba; kawaida hufungwa ima 33 au 100.

 

 

Share