Muda Wa Kumnyonyesha Mtoto Na Je Kuna Malipo Kama Hukumnyonyesha?
SWALI
Asalaam alaykum.
Mimi nauliza ni muda gani wa kumyonyesha mtoto halafu kama haukutimia imetokea bahati mbaya unaweza kumlipa yule mtoto?
JIBU:
Uzazi - Malezi
Muda Wa Kumnyonyesha Mtoto Na Je Kuna Malipo Kama Hukumnyonyesha?
SWALI
Asalaam alaykum.
Mimi nauliza ni muda gani wa kumyonyesha mtoto halafu kama haukutimia imetokea bahati mbaya unaweza kumlipa yule mtoto?
JIBU:
Kuwatambulisha Watoto Bila DNA
SWALI:
Salaam aleikum sheikhe. Swali yangu ni katika dina kama mama wawili wamechanganisha watoto wachanga na kila mama anadai amezaa mtoto mvulana. Je dini inaweza kuwatowanishaje ukiondoa kuchukuliwa DNA. Naomba unijibu kutokana kwa Quran na Sunna.
JIBU:
Kumwita Mtoto Jina La Maulaana
SWALI:
Je naweza kumwita mtoto wangu jina lake "Mulana" bin fulani?
JIBU:
AlhamduliLLaah - Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na salamu zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho.
Sifanani Na Baba Yangu Je ni Mtoto Wa Haraam?
SWALI:
Salam aleykum mimi na baba yangu hatufanani kwa sura wala rangi yani wengi wamekuwa wakisema kuwa si baba yangu tokea kwa siri hadi dhahiri je nifanyeje ili kujua ukweli katu siwezi kumuliza mama juu ya hilo kwani kwa mila zetu ni utovu wa adabu tafadhali nisaidie.
JIBU:
Kuwapa Watoto Majina Ya Allaah
Au Majina Yanayomshirikisha Allaah Kama 'Abdur-Rasuwl, 'Abdul-Husayn
Nini Hukmu Yake?
SWALI 1
Nini hukumu ya kuwapa watoto majina ya Allah sw kama vile SHAQUR, SATARU na mengineyo???
Assalam alaykum
SWALI La 2:
Kuinuliwa Mtoto Mchanga Magharibi Na Kumlaza Kifudifudi Imethibiti Usahihi Wake?
SWALI:
As. kum In Shaa Allaah wote wazima.
Naomba niulize hivi – Ina maana gani kumlaza mtoto kifudifudi?
Watu wengi utawasikia wakisema mtoto mchanga ainuliwe (asiwekwe chini hata kama kalala umuinue) wakati wa maghrib kwa nini?
JIBU:
Kumwita Mtoto Jina La Balqiys Au Bilqiys
SWALI:
Assalaam alykum warahmatullaah wabakaatuh.
Sifa njema ni za Allaah, mola wa viumbe vyote. Sala na salaam zimwendee mtume wetu Muhammad Namshukuru Allaah aliyenijalia pamoja nanyi kuwa waislam.