Zingatio
Zingatio La Wiki,
Zingatio: Wa Kulaumiwa Ni Nani?
Naaswir Haamid
Zingatio: Vitu Vya Duniani Vinapungua Ladha, Jannah (Pepo) Haipo Hivyo
Naaswir Haamid
Zingatio: Ee Nafsi Mche Rabb Wako
Naaswir Haamid
Zingatio: Dunia Si Chochote Si Lolote
Naaswir Haamid
Ni kutokana na ujinga na dharau zetu ndio tumeufikisha Uislamu kwenye hali iliyopo sasa. Sio tu kwa kukosa dira ya kufuata au Kitabu cha kusoma, la sivyo! Bali pia ni kwa kuwafanya maadui wa Uislamu kuwa ni wenzetu wa karibu mno kuliko hata ndugu wa Kiislamu walio na imani thabiti.
Kwa maisha ya leo yalivyo, ustaarabu ambao unafanana na wa mnyama, utaonekana ni mtu wa maajabu kutoa kauli ya kwamba muziki haufai kabisa kabisa. Badala yake, ndio kwanza wanatengeneza matamasha na kuyaita: "Save The Music" yaani "Linda/Hifadhi Muziki (usipotee)". Na si wengine wenye kuyaandaa hayo isipokuwa wanaojiita Waislamu!
Zingatio: Ukificha Au Ukidhihirisha Anakuona
Naaswir Haamid
Zingatio: Kuwa Na Bwana Wa Nafsi Yako
Naaswir Haamid