Maulidi: Ikiwa Qur-aan Imehifadhiwa Vipi Swahaba Walikhofia
Kupotea? Maulidi Yana Ubaya Gani?
Swali:
Bid'ah - Uzushi
Maulidi: Ikiwa Qur-aan Imehifadhiwa Vipi Swahaba Walikhofia
Kupotea? Maulidi Yana Ubaya Gani?
Swali:
Maulidi Kusherehekewa Wakati Msichana Anavunja Ungo Na Kwa Biharusi
SWALI:
Asalaam Aeikum Ndugu zangu katika Uislam
Wanafunzi Chuoni Wanachangishwa Pesa Kwa Ajili Ya Mawlid Kuvalishwa Sare.
Mwalimu Hataki Kupokea Nasaha Ya Mzazi Kuhusu Mawlid
SWALI:
Uzushi Kuhusu Swalah Maaulum Ya Jumatano Ya Mwisho Mfungo Tano (Swafar)
SWALI:
Assalamu alaykuom,
Nasikia kuna sala ambayo inasaliwa jumatano ya mwisho ya mfungo tano je sheikh ni kweli ipo sala hiyo naomba majibu yenu, la pili
JIBU:
Kusherehekea Anniversary Inafaa Kwa Waislamu?
SWALI
Assalam alykum.... nilikuwa nataka kuulizaa swali juu ya Annivasary....
je waislamu inafaa kusherekea annivassary? ama haifai? shukran
JIBU:
Kumsomea Maiti Qur-aan Nini Hukmu Yake?
SWALI:
Nini hukmu ya mwenye kusoma Al-Faatihah au chochote katika Qur-aan kuwasomea Maiti?
JIBU:
Uzushi Wa Adhkaar Baada Ya Kila Rakaa Za Swalaah Ya Taraawiyh
SWALI LA KWANZA:
Assalam Aleikum.amma baad nina maswala machache kuhusu Ramadhwaan na yalyomo ndani yake.
Uzushi Wa Kitabu Cha Aayatul-Kifaayaah
SWALI:
Nimenunua kijitabu kina dua Za ayatul kifaayat, na kuna taratibu za kuisoma ukitaka kumuomba mtume usome mara 3, kama kuna shida ya kuondoa nuksi unasoma mara 99, kumuomba Allah akusaidie kupata kazi ni mara 111 kwa siku 41na mengineyo, hichi kijitabu ni cha kweli, na kama sio, dua zipi zitanisaidia kama nna shida mbalimbali kuomba kwa Allah kupitia hizo dua