Uzushi Wa Swalaah Ya Ijumaa Ya Mwisho Katika Ramadhwaan
Kukidhia Swalaah Na Kuwa Inafuta Madhambi
SWALI:
Bid'ah - Uzushi
Uzushi Wa Swalaah Ya Ijumaa Ya Mwisho Katika Ramadhwaan
Kukidhia Swalaah Na Kuwa Inafuta Madhambi
SWALI:
Kuchangia Na Kushiriki Shughuli Za Bidaa Ni Dhambi?
SWALI:
Assalaam Alaykum
Nimepatwa na mtihani, mzazi wangu kafariki na ndugu wanataka tusome dua ya hitima mwezi huu, Sasa nauliza je nitoe mchango katika hiyo shughuli?
Pili je kama sitatoa pesa nikahudhuria naweza kula nyama iliyochinjwa katika hitima hiyo, Naomba mnipatie jibu mapema ili niwape msimamo kwani nahofia wasione nimewasaliti ila nataka kama haiwezekaniki niwakatalia kwa points
Wabilah Tawfiq
Kusoma Tawassul Inafaa Katika Hedhi?
SWALI:
Is one allowed to recite (read) "Tawasul" when they are on their periods? Some people read it every thursday night and usually even at "taaziya's". Mtu akifa, jamaa husoma tawassul alafu wakamtiliya maiti fatha. Also, for example, I have it on tape and I would usually play it in the car and my children and I will follow along.
JIBU:
Kumbukumbu Ya Kifo (Death Anniversary) Nini Hukmu Yake?
SWALI:
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh
Shukrani sana kwa kazi mnayo ifanya kwakutuelimisha, Allah Awajaze kheri (Allahumma Amin)