Maswali: Taqwa - Tazkiyyah
Taqwa - Tazkiyyah
Maswali: Taqwa - Tazkiyyah
Tawbah Ya Shirk Inakubaliwa? Na Vipi Kuomba?
SWALI LA KWANZA
Amesema Allaah s.w atakayejua kwamba mimi nina uwezao wa kusemehe dhambi basi nitamsamehe wala sitojali maadau hakunishirikisha na chochote.
Suali mtu anajua kwa Allaah anao ouezo kusamehe madhambi, na yeye kafanya madhambi na katika hizo dhmabi zimo nyengine za shirki. Vipi toba ya hizi dhambi pia kwasababu pia m/mungu anasema katika suratun-nissaa aya 48 na aya
116 yeye hasamehe dhambi ya kushirikisha isipokua anasemehe dhambi nyingine kwa amfakaye