10-Hadiyth Husnul-Khuluq: Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) Alikuwa Na Husnul-Khuluq Kuliko Watu Wote

 

Hadiyth: Husnul-Khuluq (Tabia Njema)

 

Hadiyth Ya  10

 

Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) Alikuwa Na Husnul-Khuluq Kuliko Watu Wote

 

 

Alhidaaya.com

 

 

 

وعن أنس رضي الله عنه ، قال : كَانَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم أحْسَنَ النَّاس خُلُقاً . متفقٌ عَلَيْهِ .

Imepokewa kutoka kwa Anas (Radhwiya Allaahu 'anhu) amesema: "Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa ni mwenye husnul-khuluq (tabia njema) kuliko watu wote." [Al-Bukhaariy na Muslim]

 

 

Share