Imaam Ibn Baaz: Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu-01: Kauli "Allaah Yupo Katika Kila Zama Na Kila Sehemu"

 

Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu - 01

 

 Kauli "Allaah Yupo Katika Kila Zama Na Kila Sehemu"

 

Imaam Ibn Baaz  (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Kauli hii ni baatwil, na haya ni maneno wayasemayo watu wa bid'ah.

Bali Allaah Yupo juu ya 'Arsh, juu ya viumbe Vyake vyote."

 

 

[Al-Fataawaa, juz. 6, uk. 434]

 

Share