Skip to main content

Du'aa Za Nabiy ( )صلى الله عليه وآله وسلم005-Du’aa Za Nabiy ( ): Du’aa Makhsusi Ya Laylatul-Qadr- Kuomba Al-'Afw (Msamaha)صلى الله عليه وآله وسلم

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

Du’aa Khasa Ya Laylatul-Qadr Kuomba Al-'Afw (Msamaha)

Alhidaaya.com

 اللَّهُمَّ إِنَّكَ عَفُوٌّ تُحِبُّ الْعَفْوَ فَاعْفُ عَنِّي

Allaahumma Innaka ‘Afuwwun Tuhibbul-‘afwa fa’fu ‘anniy

Ee Allaah, hakika Wewe ni Mwingi wa kusamehe Unapenda kusamehe basi nisamehe.

[At-Tirmidhiy, Ahmad, Ibn Maajah, na Swahiyh At-Tirmidhiy (3/170)]

Pia kumwita Allaah (سبحانه وتعالى) kwa Majina Yake Mazuri Yanayohusiana na kuomba msamaha na maghfirah. Unamwita Allaah (سبحانه وتعالى) kwa Majina hayo kwa wingi bila ya kuwekea idadi maalumu au kuambatanisha na kitendo maalumu.

يــــــَــــاعَفُـــــــــــــوُّ   يَاغَفـــُــــــورُ

Yaa ‘Afuwwu Yaa Ghafuwru.

Ee Mwingi wa Kusamehe, Mwingi wa Kughufuria.