Katika wakati wa fitnah, ni waajib Muislamu kufanya yafuatayo:
1. Kujishughulisha na kutafuta elimu ya Dini.
Kauli Za Salaf Na 'Ulamaa
Katika wakati wa fitnah, ni waajib Muislamu kufanya yafuatayo:
1. Kujishughulisha na kutafuta elimu ya Dini.
Mapenzi Kwa Ajili Ya Allaah
Amesema Al-Imaam Ash-Shaafi'iy (Rahimahu Allaah):
"Ikiwa una rafiki -anakusaidia katika kumtii Allaah- basi mng'ang'anie mkono wake usimwache, kwani hakika kupata rafiki (wa dhati wa Diyn) ni jambo gumu, na kutengana nae (rafiki) ni jambo jepesi."
Khiyaanah!!!
Haifai Kumrekodi Mtu Kwenye Simu Bila Idhini Yake
Sijui!!
Aliulizwa Imaam Ash-Sha'biy (Rahimahu Allaah) kuhusiana na mas-alah (katika Dini), akajibu: 'Sijui'
Ni Wajibu Kujizuia Kuwasema Vibaya Maswahaba
Mwenye Kusikia Haki Akaipinga
Imaam Ibn Batwah Al-'Ukbariy (Rahimahu Allaah) amesema:
Fadhila Za Kusema 'Jazaaka Allaahu khayra' (Allaah Akulipe khayr)
Amiyr wa Waumini, 'Umar bin Al-Khattwaab (Radhwiya Allaahu 'anhu) amesema:
Anayekaa Vikao Vya Maasi Na Hawakatazi Wenzake, Anaingia Naye Kwenye Madhambi
Imaam Al-Qurtwubiy (Rahimahu Allaah) amesema: