Maswali: Maingiliano
Maingiliano
Maswali: Maingiliano
SWALI:
Mimi ni mwana ndoa na bahati mbaya mume wangu ana matatizo ya mashetani, wakati wa tendo la ndoa huwa hawezi kufanya lolote au muda mwengine kuwa anashindwa njiani, jee Sheikh kuna dawa gani za kidini na za kiislamu ambazo mwanadamu mwenye tatizo kama hili hutumia na kuondokana na tabu hii?naomba msaada wenu ishAllaah, Wabillah Tawfiq.