Bi Harusi Kujipamba Katika Mipaka Ya Shariy’ah Ya Dini
Swali:
In Shaa Allaah mutakuwa katika hali ya uzima na malipo mema kwa Allah amin.
Wanawake
Bi Harusi Kujipamba Katika Mipaka Ya Shariy’ah Ya Dini
Swali:
In Shaa Allaah mutakuwa katika hali ya uzima na malipo mema kwa Allah amin.
Kujipaka Cream Kwa Ajili Ya Kuung’arisha Uso
Mwanamke Anavaa Hijaab Lakini Anavaa Suruwali Ya Kubana Anaposwali,
Je, Swalaah Yake Inakubalika?
SWALI:
Kufukiza Ubani Na Mwanamke Kukaa Arubaini Anapojifungua Inafaa?
SWALI:
Nimesoma kuwa kuchoma ubani ni mila ya makafiri walioingia ktk uislam lakini ktk usilamu hakuna arobaini ila kwa mama aliyejifungua tu hebu nipe ufafanuzi.
Mwanamke Kujipamba Mbele Ya Shemeji Au Wasiokuwa Maharimu Zake
SWALI:
Asalam alykum samahani saaaaaaana kwa usumbufu wowote utakaotokea kwa suali hili .
mimi nauliza nimeambiwa usioneshe mapambo yako mwanamke unapotoka sasa mimi niko ndani kwangu na nakaa na shemegi zangu au shemegi yangu na mume wangu ametoka sasamimi nikajipamba na kumsubiri mume wangu arudi kazini na kujipamba kwangu pengine ni kujitia manukato au rangi ya mdomo na nguo ambazo za stara kwa vile muna watu nimevaa sasa mimi sipati dhambi wao wanapo niona na zile rangi usoni na kunisikia harufu. na pia kaja mtu nnae mfaham ambae ni jamaa wa mume wangu nikamfungulia mlango na hali nimejipamba kama hvo mwanzo pia sipati dhambi akiniona na mimi niko kwangu
JIBU:
AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa walimwengu, Swalaah na salamu zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho