16-Fadhila Za Laa Iaaha Illa Allaah: Atakayekuwa Maneno Yake Ya Mwisho Ni Laa Ilaaha Illa Allaah Ataingia Jannah

 Hadiyth Kuhusu Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah

 

 www.alhidaaya.com

 

16-Atakayekuwa Maneno Yake Ya Mwisho Ni Laa Ilaaha Illa Allaah Ataingia Jannah

 

 

 عَنْ مُعَاذِ بْنِ جَبَلٍ قَالَ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّه عَلَيْهِ وَسَلَّمَ : ((مَنْ كَانَ آخِرُ كَلامِهِ لا إِلَهَ إِلا اللَّهُ دَخَلَ الْجَنَّةَ)) رواه أبو داود ( 3116 ) وحسَّنه الألباني في "إرواء الغليل" ( 3 / 149 ).

 

Kutoka kwa Mu’aadh bin Jabal (رضي الله عنه) kwamba Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Atakayekuwa maneno yake ya mwisho ni Laa ilaaha illa Allaah ataingia Jannah)). [Abuu Daawuwd, Ahmad na ameisahihisha Al-Albaaniy katika Irwaa Al-Ghaliyl (3/149), Swahiyh Al-Jaami’ (6479), Swahiyh Abiy Daawuwd (3116)].

 

 

Share