Kutenda Bila Elimu Kunapelekea Katika Maangamivu
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
‘Ilmu-Da’wah
Kutenda Bila Elimu Kunapelekea Katika Maangamivu
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
Nasiha Kuendelea Na Da’wah Na Kujitenga Na Siasa
Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah)
‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu
Imaam Maalik (Rahimahu Allaah)
Amesema Imaam Maalik (Rahimahu Allaah):
“Ilmu isichukuliwe kutoka kwa watu wa aina nne:
Jifunze Asw-Swidq Ukweli Kabla Ya Kujifunza ‘Ilmu
Imaam Al-Awzaa’iy (Rahimahu-Allaah)
Amesema Imaam Al-Awzaa’iy (Rahimahu-Allaah):
Jifunze Asw-Swidq (Kusema na kuwa mkweli) kabla ya kujifunza elimu.
[Sharh Hilyat Twaalib Al-‘Ilm (138)]
Ulimwengu Upo Katika Ugeni Kutokana Na Uchache Wa Elimu Na Ahlul-'Ilm
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
“Aghlabu ya miji leo hii, na aghlabu ya dunia leo hii, umo katika ugeni mkali kutokana na uchache wa elimu na Ahlul-‘Ilm (wenye elimu).