<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutenda Bila Elimu Kunapelekea Katika Maangamivu
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
‘Ilmu-Da’wah
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kutenda Bila Elimu Kunapelekea Katika Maangamivu
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
Yanayompatisha Mtu Hadhi Duniani Na Aakhirah Ni ‘Ilmu Na Iymaan
Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)
Amesema Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah):
“Katika mema ambayo imeyapata nafsi na nyoyo na mtu kupata hadhi duniani na Aakhirah ni ‘Ilmu na Iymaan.”]
[Al-Fawaid, uk 103]
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kurithi ‘Ilmu Ni Bora Kurithi Dhahabu Na Fedha Nafsi Njema Bora Kuliko Lulu
Imaam Yahyaa Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kujifunza ‘Ilmu Humsababisha Mtu Kumcha Allaah
Imaam Sufyaan Ath-Thawriy (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Atakayetumia Ujana Wake Katika ‘Ilmu Atashukuru Na Kupata Ladha Ya Dunia Na Aakhirah
Imaam Ibn Al-Jawziyy (Rahimahu Allaah)
<?xml encoding="utf-8" ?>
Nasiha Kuendelea Na Da’wah Na Kujitenga Na Siasa
Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah)
Imaam Al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) amesema:
<?xml encoding="utf-8" ?>
‘Ilmu (Elimu) Isichukuliwe Kutoka Kwa Aina Nne Za Watu
Imaam Maalik (Rahimahu Allaah)
Amesema Imaam Maalik (Rahimahu Allaah):
“Ilmu isichukuliwe kutoka kwa watu wa aina nne:
Mjinga anayefanya ujinga wake hadharani, hata kama amesimulia riwaya nyingi;
Jifunze Asw-Swidq Ukweli Kabla Ya Kujifunza ‘Ilmu
Imaam Al-Awzaa’iy (Rahimahu-Allaah)
Amesema Imaam Al-Awzaa’iy (Rahimahu-Allaah):
Jifunze Asw-Swidq (Kusema na kuwa mkweli) kabla ya kujifunza elimu.
[Sharh Hilyat Twaalib Al-‘Ilm (138)]
Ulimwengu Upo Katika Ugeni Kutokana Na Uchache Wa Elimu Na Ahlul-'Ilm
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:
“Aghlabu ya miji leo hii, na aghlabu ya dunia leo hii, umo katika ugeni mkali kutokana na uchache wa elimu na Ahlul-‘Ilm (wenye elimu).
[Sharh Riyaadhw Asw-Swaalihiyn (38)]