Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah
‘Ilmu-Da’wah
Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:
"Mwenye kufanya ubishi na akawa na kibr baada ya kumdhihirikia Haki, hapana shaka anapaswa aamiliwe kwa yanayomstahiki baada ya ubishi na kwenda kinyume."
[Kitaab Al-'Ilm, uk. 26]
Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah
Eneza Haki Na Sunnah Na Jiepushe Na Mijadala Na Magomvi
Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah)
Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) amesema:
Itambulishe (ifundishe) Sunnah wala usiifanyie magomvi.”
[Al-Aadaab Ash-Shar-‘iyyah li-ibn Muflih]
Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah
<?xml encoding="utf-8" ?>
Usipuuzie Kuhudhuria Vikao Vya Kielimu (Ya Shariy'ah)
Shaykh Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)
Kauli Za Salaf: ‘Ilmu-Da’wah
<?xml encoding="utf-8" ?>
Kuzungumza Juu Ya Watu Kuwe Kwa Uadilifu Hata Kwa Unaokhitalifiana Nao
Shaykh Al-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)