Uzushi Wa Swalaah Ya Ijumaa Ya Mwisho Katika Ramadhwaan
Kukidhia Swalaah Na Kuwa Inafuta Madhambi
Bid'ah - Uzushi
Uzushi Wa Swalaah Ya Ijumaa Ya Mwisho Katika Ramadhwaan
Kukidhia Swalaah Na Kuwa Inafuta Madhambi
Kuchangia Na Kushiriki Shughuli Za Bidaa Ni Dhambi?
SWALI:
Assalaam Alaykum
Nimepatwa na mtihani, mzazi wangu kafariki na ndugu wanataka tusome dua ya hitima mwezi huu, Sasa nauliza je nitoe mchango katika hiyo shughuli?