Maamuuma Lazima Wasome Suwratul-Faatihah
Au Kisomo Cha Imaam Kinawatosheleza Wote?
SWALI:
Assalamu alaykum
Swalah Ya Jamaa
Maamuuma Lazima Wasome Suwratul-Faatihah
Au Kisomo Cha Imaam Kinawatosheleza Wote?
SWALI:
Assalamu alaykum
Kunyanyua Mikono Katika Kila Takbiyrah Ya Ziada Kwenye Swalaah Ya 'Iyd Ni Sahihi?
SWALI:
Assalam Aleyqum,
Je baada ya kufunga swala katika swala IDD unapo piga TAKBIRA je unainua mikono kama unafunga swala au unapiga takbira wakati mikono ikiwa umeifunga kifuani kama kawaida ?
JIBU:
Tofauti Ya Takbiyrah Za Iydul-Fitwr Na Iydul-Adhwhaa
SWALI:
Assalaam Alaikum.
Naomba mnisaidie tofauti ya takbira za eid al fitri na eid al hajj. Wassalaam alaikum
JIBU:
Idadi Ya Rakaa Za Taraawiyh, Mwisho Wake, Na Jinsi Ya Kuziswali Rakaa Tatu Za Witr
SWALI:
Asalaam aleykum wa rahmatullah waabarakaatuh,
nina swali lingine mwenzangu anauliza yeye ni mvivu wa kuswali taraawiyh kwa muda wake maana akishashiba anakua amechoka sasa huwa anaswali usiku akiamka kama saa 8 au 9 sasa je taraweh mwisho wake ni hadi karibu na alfajiri au? mimi nikidhsani mwisho ni saa 6 tu.
Akiswali Taraawiyh Masjid Inajuzu Aswali Tena Nyumbani Akiamka Usiku?
SWALI:
Muislamu akiswali Taraawiyh msikitini, je, Anaruhusiwa na kuswali Swalaah ya usiku nyumbani? Vipi Sunnah ya Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) kuswali kwake usiku?
JIBU:
Akiondoka Kabla Ya Imaam Kumaliza Rakaa 20
Na Akiswali Witr Nyumbani Atapata Fadhila Za Qiyaamul Layl?
SWALI:
As-salamu Aleikum,
Naomba munisimuliye kuhusu swalah ya taraweeh misikiti mengine wanaswali rakaa 23 na na mimi ni mtu wa kuswali 11 pamoja na witry kama ilivyo katika sunnah.Je nikiswali 8 pamoja na imam nikamaliziya witry nyumbani nitapata ujra huu alosema mtume sallahu alayhi wassallam.
La Kufanya Unapochelewa Swalaah Ya Jamaa’ah Ukamkuta Imaam Ameshamaliza Swalaah
SWALI:
A.aleykim warahamatullah wabarakatu.
Naomba kuuliza kuhusu swala. Kama umechelewa jamaa na umekuta Imamu ameshatoa salaam. Nini unapaswa kufanya ? Kabla ya kufumga swala? Kuleta Adhana na uqimu swala au unapaswa kunuia swala na kuanza kuswali ? Hapa pana mtihani, kila mtu ana ataili yake. Nielimishe na mimi nipate kuelimisha wengine.
JIBU:
Swalaah Ya Jamaa Baina Ya Mume, Mke Na Mtoto Wa Kiume
SWALI
Nilitaka kujua tu kama nitasali jamaa watu wawili lakini mke na mume au mtoto wa kiume na mama yake, jee ni vipi tunatakiwa tujipange? ukizingatia mmoja (mwanamke) atakua nyuma pekee yake hakuna ubaya wowote?
JIBU
Maswali Mbali Mbali Kuhusu Swalaah Ya Taraawiyh, Witr Na Du'aa Ya Laylatul-Qadr
SWALI:
Assalaam 'Alaykum Warahmatullah,
Inshalla Allah atuwezeshe kuifunga Ramadhwaan kwa Iman na Ikhlas na wingi wa Rehma zake, Amin.
1) Nilikua na maswali kidogo tu kuhusu dua hii: "ALLAHUMMA INNAKA 'AFUWUN TUHIBUL-'AFUA...... Jee ina wakati maalum wa kuiomba dua hii au wakati wowote??
Kuanza Swafu Ya Nyuma Kwa Kumvuta Mtu Wa Mbele Katika Swalaah Ya Jamaa
SWALI
Vipi kama mtu amechelewa ktk swala ya jamaa na akakuta waumini wenzake wakiendelea na jamaa na swafu ya mbele imejaa, na ilimbidi anzishe swafu ingine,je lazima amvute mtu aliembele yake? Na asipofanya kuna madhambi?
JIBU: