Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Haijuzu Kusema Ilaahi Anta Jaahiy “Mwabudiwa Wangu Wewe Ni Jaha Yangu”

 

Haijuzu Kusema Ilaahi Anta Jaahiy “Mwabudiwa Wangu Wewe Ni Jaha Yangu”

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

 

Nini hukmu ya kusema:

 

إلاهي أنت جاهي؟

 

Ilaahi Anta Jaahiy” (Ee Mwabudiwa Wangu, Wewe Ni Jaha Yangu)

 

 

JIBU:

 

Haifai kutumia kauli hiyo, kwa sababu maana ya neno hilo ni: “Wewe ni muombezi Wangu, sasa muombezi wako kwa nani?”

 

[Fataawaa Muhammad bin Swaalih Al-‘Uthaymiyn: Al-Kanz Ath-Thamiyn (Uk 12)]                   

 

 

 

 



 

 

Share