Imaam Ibn Taymiyyah: Kumswalia Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) Mwanzo Katikati Mwisho Wa Du’aa Ni Sababu Ya Kutakabaliwa Du’aa

Kauli Za Salaf: ‘Ibaadah

 

Kumswalia Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) Mwanzo, Katikati

Na Mwisho Wa Du’aa Ni Sababu Ya Kutakabaliwa Du’aa

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)

 

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

Amesema Imaam Al-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah):

 

Hakika kumswalia Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) kabla ya du’aa na katikati yake na mwisho wake ni katika sababu kubwa ambayo kwayo hutarajiwa kujibiwa du’aa zingine zote.

 

 

 

[Iqtidhwaa Asw-Swiraatw (2/249)]