042-Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah: Kwa Ujumla Ni Ipi Dalili Yake Katika Qur-aan?

 

 

200 سُؤالٌ وَ جَوَابٌ فِي الْعَقِيدَة

Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah

 

لِلشَّيخ حافِظ بن أحْمَد الحَكمَيّ

Shaykh Haafidhw Bin Ahmad Al-Hakamiyy (رحمه الله)

Imefasiriwa na:  Alhidaaya.com

 

042-Kwa Ujumla Ni Ipi Dalili Yake Katika Qur-aan?

 

Swali:

س: ما دليلها من الكتاب جملة

 

Kwa ujumla ni ipi dalili yake Katika Qur-aan?

 

Jibu:

 

ج: قول الله تعالى( ليس البر أن تولوا وجوهكم قبل المشرق والمغرب ولكن البر من آمن بالله واليوم الآخر والملائكة والكتاب والنبيين )وقوله تعالى( إنا كل شيء خلقناه بقدر )وسنذكر إن شاء الله دليل كل على انفراده.

Ni kauli ya Allaah  (عزَّ وجلَّ):

 

لَّيْسَ الْبِرَّ أَن تُوَلُّوا وُجُوهَكُمْ قِبَلَ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ وَلَـٰكِنَّ الْبِرَّ مَنْ آمَنَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالْكِتَابِ وَالنَّبِيِّينَ ﴿١٧٧﴾ 

Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa Mashariki na Magharibi, lakini wema ni mwenye kuamini Allaah na Siku ya Mwisho na Malaika na Kitabu na Manabii [Al-Baqarah: (2:177)]

 

Na kauli ya Allaah  (عزَّ وجلَّ):

 

إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ ﴿٤٩﴾

Hakika Sisi Tumekiumba kila kitu kwa Qadar (makadirio, majaaliwa). [Al-Qamar: (54:49)]

 

 

Na tutaendelea kutaja kila dalili kwa upana wake In shaa Allaah.

 

 

Share