005-Hakimu Wa Kiislamu: Vitabu Vya Marejeo

 

VITABU VYA MAREJEO

 

 

Bila ya shaka hakuna kazi inayonasibiana na Uislamu ikakamilika bila ya kurejea maneno matukufu ya Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala). Nayo ni Qur-aan Tukufu. Kwa kuwafanyia wepesi wasomaji wa Kiswahili, tumetumia maneno ya Kiswahili bila ya kuweka zile Aayah asili. Hili ni vyema likawashajiisha wasomaji kurudia Aayah za Qur-aan moja kwa moja. Kwani fadhila za kuisoma Qur-aan zinapatikana kwa kurudia Aayah asili katika lugha ya Kiarabu kama zilivyoteremshwa.

 

Kwa ajili ya kufanikisha utendaji wa kazi hii vyema, imenibidi kurejea zaidi katika vitabu vya Kiingereza na baadhi ya vitabu vya Hadiyth za Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Kamusi imetumika kwa ajili ya maana na uchambuzi wa neno kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.

 

Ama sheria nimetumia zaidi kutoka Zanzibar. Ingawa kwa kiwango kikubwa sheria za Tanzania Bara, Kenya, Uganda, India na nyinginezo zinafanana kutokana na kutawaliwa na Muingereza ambaye aliziwasilisha sheria hizi kwa koloni zake. Sio mambo yote ndani ya sheria hizi ambayo yanafanana na mazingira ya Shari’ah za Kiislamu. Hivyo, imenibidi kutumia baadhi tu ya vifungu nilivyohisi vinafanana na Shari’ah. Hata hivyo, bado imebaki kazi kubwa kwani sio vifungu vyote nilivyofanikisha kuvinukuu. Hii ni kutokana na muda pamoja na kujizuia kukifanya kitabu hichi kuwa kirefu mno.

 

 

QUR-AAN TAFSIYR YA KISWAHILI

 

Shaykh Abdullah Saleh Al-Farsy, Qur-aan Takatifu, (1994).

 

 

HADIYTH

 

Imaam Abiy Zakariyyah Yahya bin Sharaf an-Nawawiy ad-Damshiqiy, Riyaadhu as-Swaalihiyna, Daarul-Kitaabul-'Alamiyyah, Bayruut – Lubnaan, (1985).

 

Al-Haashimiy, Mukhtaar ahaadiyth an-Nabawiyyah.

 

Duktuur Mustafa Dayb Matn al-Ghaayatu wa at-Taqriyb, (1978).

 

 

 

SHARI’AH[1]

 

Fundamentals Of An Islamic Constitution, Extract From The Concept Of Islamic State, Treatise, Islamic Council Of Europe – 1st Ed. 1979.

 

'Abdur-Rahiym, The Principles of Islamic Jurisprudence, Afif Printers, Delhi, India, 2nd Ed. 1994.

 

G. M. Azad, Judicial System of Islam, Afif Printers, Delhi, India, 1st. Ed. 1994.

 

 

SHERIA[2]

 

B. D. Chipeta, A Handbook For Public Prosecutors, Tanzania, 1979.

 

B. D. Chipeta, A Magistrate's Manual, T. M. P Book Department, Tabora, Tanzania.

 

B. D. Chipeta, Civil Procedure In Tanzania, A Student's Manual, Dar es Salaam University Press Ltd, Dar es Salaam, Tanzania, 2002.

 

Dr. Avtar Singh, Principles Of The Law of Evidence, Central Law Publications, Allahabad, India, 13th Ed. 2002.

 

 

SHERIA ZA ZANZIBAR

 

Interpretation Decree, Chapter 1, (1953).

Courts Decree, Chapter 3, (1923).

Jurisdiction Decree, Chapter 4, (1934).

Evidence Decree, Chapter 5, (1917).

Evidence (Banker's Book) Decree, Chapter 6, (1949).

Oaths Decree, Chapter 7, (1917).

Civil Procedure Decree, Chapter 8, (1917).

Limitation Decree, Chapter 12, (1917).

Arbitration Decree, Chapter 25, (1928).

Contract Decree, Chapter 149, (1917).

Land Tribunal Act, Act 12 of 1994.

 

 

KAMUSI YA KIARABU - KIINGEREZA  

 

Hans Wehr – Edited by   J   Milton Cowan, A Dictionary Of Modern Written Arabic - Arabic-English, 3rd Ed. (1976).

 

 

KAMUSI YA KIINGEREZA - KISWAHILI

 

A Standard English-Swahili Dictionary. Oxford University Press, (1996).



 



[1] Ni vyanzo vya sheria vinavyotokana na misingi mikuu ya sheria za Kiislamu kutoka kwenye Qur-aan na Sunnah pamoja na vyanzo vyengine vidogo kama Qiyaas, Ijma’ na vyenginevyo.

 

[2] Kwa mnasaba wa sehemu hii, tunalifasili neno hili kuwa: Ni sheria ambazo zimetungwa na mwanaadamu zinazodai kuwa hazina uhusiano wa dini yoyote kwa ajili ya kuweka misingi na kanuni za maisha ya mwanaadamu hapa duniani.

 

Share