07-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini maana ya Laa Ilaaha illa Allaah?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

07-Nini maana ya Laa Ilaaha illa Allaah.

 

Maana ya laa ilaaha illa-Allaah ni: Hapana Muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa)

ذَٰلِكَ بِأَنَّ اللَّـهَ هُوَ الْحَقُّ وَأَنَّ مَا يَدْعُونَ مِن دُونِهِ الْبَاطِلُ

Hivyo ni kwa kuwa Allaah Ndiye wa Haki na kwamba wale wanaowaomba badala Yake, ni batili; [Luqmaan: 30]

 

((من قَالَ لآ إله إِلاَّ الله وكَفَرَ بِمَا يُعبدُ مِن دون الله حَرُمَ مالُه ودمُه)) مسلم

((Atakayesema 'Laa ilaaha illa Allaah na akakanusha wanaoabudiwa wasio Allaah italindwa (itakuwa haramu mtu kuchukua) mali yake na damu yake (uhai wake)) [Muslim]

 

Share