017-Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Kuomba Jannah Na Kuepushwa Na Moto Mara Tatu Asubuhi Na Jioni

 

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

Kuomba Jannah Na Kuepushwa Na Moto Mara Tatu Asubuhi Na Jioni

 

 Alhidaaya.com

 

 

 

 اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ الْجَنَّةَ وَأَسْتَجِيرُ بِكَ مِنَ النَّارِ (ثلاث مرات)

Allaahumma inniy as-alukal-Jannata wa astajiyru bika minan-naari [mara 3]

 

Ee Allaah, hakika mimi nakuomba Jannah na najikinga Kwako dhidi ya Moto

 

Inapaswa kusomwa katika Swalaah baada ya Tashahhud kabla ya kutoa salaam.

[At-Tirmidhiy, An-Nasaaiy, Ibn Maajah – Swahiyh At-Tirmidhiy (2/319) na lafdhi yake ((Atakayemwomba Allaah Jannah mara tatu [asubuhi na jioni], Jannah itasema: Ee Allaah muingize Jannah, na atakayejilinda kwa Allaah na Moto mara tatu, Moto utasema: Ee Allaah mlinde na Moto))  

 

 

 

Share