051-Du'aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Kinga Ya Kushindwa Hila, Kuomba Taqwa Ya Nafsi,Kinga Ya Elimu Isiyonufaisha, Moyo Usionyeyekea, Nafsi ...

 

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

Kinga Ya Kushindwa Hila, Kuomba Taqwa Ya Nafsi,  Kinga Ya Elimu Isiyonufaisha, Moyo Usionyeyekea, Nafsi Isiyoshiba, Du'aa Isiyoitikiwa.

 

 Alhidaaya.com

 

 

 

 

 

 

 اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ الْعَجْزِ وَالْكَسَلِ، وَالْجُبْنِ وَالْبُخْلِ، وَالْهَرَمِ وَعَذَابِ الْقَبْرِ. اللَّهُمَّ آتِ نَفْسِي تَقْوَاهَا، وَزَكِّهَا أَنْتَ خَيْرُ مَنْ زَكَّاهَا، أَنْتَ وَلِيُّهَا وَمَوْلاَهَا. اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ عِلْمٍ لاَ يَنْفَعُ، وَمِنْ قَلْبٍ لاَ يَخْشَعُ، وَمِنْ نَفْسٍ لاَ تَشْبَعُ، وَمِنْ دَعْوَةٍ  لاَ يُسْتَجَابُ لَهَا

 

Allaahumma inniy a’uwdhu bika minal-‘ajzi wal-kasali, wal-jubni wal-bukhli, wal-harami, wa ‘adhaabil-qabri, Allaahumma aati nafsiy taqwaahaa, wa zakkihaa Anta khayru man zakkaahaa, Anta Waliyyuhaa wa Mawlaaha. Allaahumma inniy a’uwdhu bika min ’ilmin-laa yanfa’u, wamin qalbin-laa yakhsha’u, wamin-nafsil-laa tashba’u, wamin da’-watin-laa yustajaabu lahaa

 

Ee Allaah, hakika mimi najikinga Kwako kushindwa hila, na uvivu, na uoga, na ubakhili, na kudhoofika [kutokana na uzee] na adhabu za kaburi. Ee Allaah, Ipe nafsi yangu taqwa yake, na Itakase kwani Wewe ni Mbora wa kuitakasa, Wewe ni Waliyyu wake na Mawlaa wake. Ee Allaah, hakika najikinga Kwako elimu isiyonufaisha, na moyo usionyeyekea na nafsi isiyoshiba, na du’aa isiyoitikiwa.

 

[Muslim, An-Nasaaiy , Ahmad]

 

 

Share