10-Imaam Ibn Baaz: Je, I’tikaaf Inajuzu Katika Masjid Al-Haraam Kwa Ajili Ya Wanawake Na Wanaume?

Je, I’tikaaf Inajuzu Katika Masjid Al-Haraam (Makkah) Kwa Ajili Ya Wanawake Na Wanaume?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

10-Je, I’tikaaf Inajuzu Katika Masjid Al-Haraam (Makkah) Kwa Ajili Ya Wanawake Na Wanaume?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Hakuna makatazo kutekelezwa I’tikaaf katika Masjid Al-Haraam na Masjid An-Nabawiy Ash-Shariyf, ikiwa ni wanaume au wanawake na ikiwa haiwaletei madhara wanaoswali wala haimuudhi yeyote basi hakuna ubaya hivyo.

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (15/440)]

 

 

Share