Imaam Ibn Al-Qayyim: Funguo Za Kupata Rahmah Ya Allaah Ni Ihsaan Katika 'Ibaadah Na Kuwanufaisha Watu

 

Funguo Za Kupata Rahmah Ya Allaah Ni Kufanya Ihsaan Katika 'Ibaadah Na Kuwanufaisha Watu

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah) amesema:

 

Funguo za kupata Rahmah (ya Allaah) ni kufanya ihsaan kwa 'Ibaadah ya Muumba, na kujitahidi kuwanufaisha waja Wake.

 

 

[Haadiy Al-Arwaah, uk. 66]

 

 

 

Share