10-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Unapochinja Unatakiwa Kusema Nini?

 

Unapochinja Unatakiwa Kusema Nini?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Unasema nini unapochinja?

 

JIBU:

 

Anasema mtu anapotaka kuchinja:

 

بسم الله والله اكبر، اللهم هذا منك ولك اللهم هذه عني و عن اهل بيتي  

((BismiLLaah, wa Allaahu Akbar, Ee Allaah hii ni kutoka Kwako na kwa ajili Yako, Ee Allaah hii ni kutoka kwangu na kwa kutoka kwa ahli yangu))

 

 

 [Majmuw’ Al-Fataawaa (25/55)]

 

 

Share