41-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Majimaji Yanayomtoka Mwanamke Anapaswa Afanyeje?

 

Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

41-Majimaji Yanayomtoka Mwanamke Anapaswa Afanyeje?

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

SWALI:

 

Nini kinacholazimu pindi kiwiliwili au inapopatwa na majimaji hayo?

 

 

 

JIBU:

 

 

Akiwa ni tohara haimlazimu chochote, na ikiwa ni najisi ambayo inatoka katika kinena basi ni wajibu wake kusafisha.

 

Share