Biskuti Za Mayai
VIPIMO
Unga
NAMNA YA KUTAYARISHA
1. Koroga siagi na sukari katika mashine ya keki (cake mixer) mpaka iwe
laini (creamy).
2. Tia mayai na vanilla koroga mpaka mchanganyiko uwe laini.
3. Tia unga na baking powder changanya na mwiko.
4. Tengeneza round upange kwenye tray utie nukta ya rangi.
5. Nyunyuzia sukari juu ya hizo round ulizotengeneza kabla huja choma.
6. Pika (bake) katika oven moto wa 350°F
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


