09-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kupendeza Kutoa Salamu Unapofika na Kuondoka Katika Kikazi au Kuwaacha Wakazi Wake

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

 

 

باب استحباب السلام إِذَا قام من المجلس

وفارق جلساءه أَوْ جليسه

09-Mlango Wa Kupendeza Kutoa Salamu Unapofika na Kuondoka Katika Kikazi au Kuwaacha Wakazi Wake

 

Alhidaaya.com

 

 

وعن أَبي هريرة رضي الله عنه ، قَالَ : قَالَ رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( إِذَا انْتَهى أَحَدُكُمْ إِلَى المَجْلِسِ فَلْيُسَلِّمْ ، فَإذَا أرَادَ أنْ يَقُومَ فَلْيُسَلِّمْ ، فَلَيْسَتِ الأُولَى بِأحَقّ مِنَ الآخِرَةِ )) رواه أَبُو داود والترمذي ، وقال : (( حديث حسن )) .

Imepokewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Anapofika mmoja wenu katika kikazi atoe salamu na akitaka kuondoka pia atoe salamu. Hiyo ni kwa sababu salamu ya kwanza si bora kuliko ya mwisho." [Abu Daawuwd na At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan]

 

 

 

Share