06-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Fadhila za 'Ibaadah Wakati wa Fitna

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

 

باب فضل العبادة في الهرج

وَهُوَ : الاختلاط والفتن ونحوها

06-Mlango Wa Fadhila za 'Ibaadah Wakati wa Fitna

 

Alhidaaya.com

 

عن مَعْقِلِ بن يسار رضي اللهُ عنه قَالَ : قَالَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم : (( العِبَادَةُ في الهَرْجِ كَهِجْرَةٍ إليَّ )) رواه مسلم .

Ma'qil bin Yasaar (Radhwiya Allaahu 'anhu) amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Ibadah inayofanywa wakati wa matatizo na misukosuko ni kama kufanya hijra kwangu." [Muslim]

 

Share