034-Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah: Ni Ipi Hukumu Ya Mtu Mwenye Kupinga Mojawapo Ya Nguzo Za Kiislamu?

 

200سُؤالٌ وَ جَوَابٌ فِي الْعَقِيدَة

Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah

 

لِلشَّيخ حافِظ بن أحْمَد الحَكمَيّ 

Shaykh Haafidhw Bin Ahmad Al-Hakamiyy (رحمه الله)  

Imefasiriwa na:  Alhidaaya.com

 

034-Ni Ipi Hukumu Ya Mtu Mwenye Kupinga Mojawapo Ya Nguzo Za Kiislamu?

 

 

Swali:

س: ما حكم من جحد واحدا منها أو أقر به واستكبر عنه 

Ni ipi hukumu ya mtu mwenye kupinga mojawapo, au akakiri na akafanya kiburi hizo?

 

Jibu:

ج: يقتل كفرا كغيره من المكذبين والمستكبرين مثل إبليس وفرعون.

 

Anauwawa kwa kukufuru, kama mwingine miongoni mwa wapingaji na wenye kiburi kama mfano wa Ibliys na Firawn.

 

 

Share