42-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Kutoa mkono wa pole (Taazia)

 

 

Kutoa mkono wa pole (Taazia):

 

 

Ni vizuri kuwapa pole wafiwa ili kuwaliwaza na kuwahimiza subira na kuridhika kwa yale aliyotaka Allah (Subhaanahu wa Ta'ala), hivyo basi kuwapunguzia huzuni waliyokuwa nayo na kumbashiria malipo ya wanaosubiri. Ni vizuri zaidi kutumia matamko aliyotumia Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) na aliyotufundisha katika kutoa mkono wa pole au atakachoweza mtu maadam hakuna makosa ndani yake.

 

Share