03-Hadiyth Al-Qudsiy: Allaah Atanyakua Ardhi Na Atakunja Mbingu Katika Mkono Wake Wa Kulia

Hadiyth Al-Qudsiy

Hadiyth Ya 3 

Allaah Atanyakua Ardhi Na Atakunja Mbingu Katika Mkono Wake Wa Kulia

 

عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ عَنْ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ: ((يَقْبِضُ اللَّهُ الْأَرْضَ وَيَطْوِي السَّمَاءَ بِيَمِينِهِ ثُمَّ يَقُولُ أَنَا الْمَلِكُ أَيْنَ مُلُوكُ الْأَرْضِ)) البخاري و مسلم

Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) kwamba Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Allaah Atainyakua dunia yote na Atazikunja mbingu kwa kwa Mkono Wake wa kulia kisha Atasema: Mimi Ndiye Mfalme! Wako wapi wafalme wa ardhi?)) [Al-Bukhaariy na Muslim]

 

 

Share