Chatine Ya Mtindi Na Nanaa
Vipimo:
Mtindi - 2 kikombe
Chumvi - kiasi
Pilipili mbichi - 1
Nanaa (mint leaves) - 1 msongo (bunch)
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 5 chembe
Namna Ya Kutayarisha:
Kidokezo
Inaweza kuliwa na aina nyingi ya vyakula kama; dehii baree, biriani, nyama/kuku wa kuchoma, mishkaki, sambusa, kachori, katlesi viazi vya duara (chops), kababu na vinginevyo vingi.