Skip navigation.
Home kabah

Uzinduzi II

Ulianza  ushindani  baina ya watukufu na mujtahidina kwa ajili ya kupata khumus, na kwa ajili  hii alianza kila mmoja  kati yao kupunguza kiasi kinachotakiwa kuchukuliwa kutoka watu mpaka  watu wawe wengi kwake kuliko mwezake, wakajiwekea njia  za kishetani, mtu mmoja  alikuja kwa Asayid Asaysataniy akasema  kumwambia :-

 Hakika haki ya khumus ninayo takiwa kutowa ni milioni tano .nami nataka  kutoa nusu ya kiwango hicho yani milioni mbili na nusu,akamwambia  Asayid Asasystaniy: lete hiyo milioni mbili na nusu, akampa  Asaystaniy akazipokea, kisha akamwambia  : nimekupa wewe - yaani syyid Asaystani akampa yule bwana alieleta zile hela -   yule  mtu akaichukua kisha,  akasema asasystaniy: rejesha tena kwangu hizo hela  yule mtu akampa tena,Asaystaniy akamwambia sasa imekua mkusanyiko wake milioni tano dhima yako imeishaondoka katika khumsi, mabwana wakubwa wengine walipoyaona hayo wakafanya hivyo hivyo bali  wakavumbua njia nyingine,ili watu waende kutowa khumsi kwao na yakawa ni mashindano kati ya mabwana wakubwa kwa ajili ya kupata khumsi , na ikawa kiwango cha khumus kinafanana na biashara ya kupunguziana ,matajiri wengi wakawa wanaitowa khumsi kwa anae chukua kiasi kidogo .

 

     Na mkuu wachuo cha najaf alipoona kuwa mashindano yamekuwa makubwa  na  kiwango kinacho ingia kwake ni kidogo, alitowa fatwa yake inayokataza kupewa khumsi mtu yoyote kati ya  watukufu, bali haitolewi isipokua  kwa watu maalumu, nae anafungu kubwa au mawakala wake alio wasambaza maeneo mbalimbali.

 

   Na baada ya kuzipokea  mali hizi akawa anazibadilisha  kwa dhahabu kwa sababu ya hali duni ya hela ya iraki wakati huo , kiasi ambacho sasa hivi anamiliki vyumba viwili vya dhahabu .Ama kuhusu kiasi wanacho tumia mawakala wake sema utakavyo .

 

  Amesema Amirl muuminin(a.s)L wema ulioje kwa wenye kujitenga na dunia  na wakiwa na raghba ya akhera, basi hao ndio walioifanya ardhi vitanda na mchanga wake kuwa ni godoro na maji yake kuwa ndio manukato na Qur-an ni alama yao , na  dua ndio nguo yao, kisha  wakaikopa dunia  kwa mfumo wa   masihi……. Hakika Daudi (a.s) alisimama  mfano wa saa hii ya usiku , na akasema hakika  ya saa hiii  hatoomba mja  isipokua hujibiwa , isipokuwa awe  Ahara u ayfa au Shartiya .[ Nahajul Balagha 4/24]  hebu linganisha kati ya maneno ya  Amirilul muuminin na hali za watukufu wa kishia na hukumu wewe mwenyewe , hakika  maelezo haya na mengineyo ni katika maelezo matukufu ambayo hayana kasoro yoyote mbele ya mabwana wakubwa na wanazuoni wa kishia ,  lakini  maisha ya fahari na raha na yafahari ambayo wanayaishi  yamewasahaulisha juhudi ya amiril-mumini na yakawafanya vipofu wasiweze  kuzingatia maneno yake na kushikamana na  maana ya maneno hayo.

  Hakika asshar ni yule anayechukua kodi ya sehemu ya kumi katika mali ,huyu dua yake  haipokelewi kama  alivyosema(a.s) basi itakuaje kwa mtu anaechukuwa  khumus? Ambae anaechukua khumus kwa watu? Hakika anae chukuwa khumsi anasababu ya msingi ya kutokubaliwa duwa yake ,kwa sababu anacho kichuwa yeye ni zaidi ya kile anacho chukwa mtoza kodi . tunamuomba Mwenyezi Mungu afya.

 

UZINDUZI MWINGINE:

Kutokana na hayo yaliyo tangulia tumekwisha fahamu ya kuwa khumsi haitolewi kwa mashehe wala wanazuoni ,na limekuwa wazi jambo hili kwetu kufuatia maelezo ya maudhui hii tuliyo yatowa kwa pande zake zote ,na ni vizuri kwetu kuzindua  kua mafakihi na marejeo ya  kidini(wanazuoni) wanadai kuwa wao ni katika Ahlu Bait,  utamuona moja wao akikuonesha mtiririko wa nasaba yake mpaka kwa kadhim (a.s), jua kwamba ni jambo lisilo wezekana kwa idadi kubwa hii yote ya wanazuoni wa Iraqi Irani sirya Lebanon nchi za ghuba na Pakistan na nyenginezo kua ni katika Ahlul-baiti , na kuhesabu wanazuoni wa Iraqi tu ataona kua ni jambo lisilo wezekana kuwa idadi yote hiyo ya wanazuoni wa Iraqi ni katika Ahlul-baiti , vipi itawezekana tukichanganya na wanazuoni wa miji mingine?bila shaka idadi yao ni kubwa sanasana je itawezekana vipi wote hawa wawe ni katika Ahlul-baiti ???

   Na zaidi ya hayo mti  wa nasabu ya mtume unauzwa na kununuliwa hapa chuoni , anaetaka  kuupata  utukufu wa nasabu ya Ahlul Bait ni juu  yake kuja na dada yake au mke wake kwa sharti awe  mzuri kwa mtukufu mmoja wapo ili astarehe nae,au aje na kiwango cha  mali na atapata utukufu kwa moja kati ya njia mbili hizi:- na hili ni jambo  maarufu hapa chuoni kwetu (CHUO CHA KISHIA CH ANNAJAF).

 kwa ajili hiyo ninasema  yasiwahadae yale ambayo wanayafanya baadhi  ya watukufu,na waandishi wakati anapoweka mmoja  wao mti wa nasaba yake  katika ukurasa wa mbele wa kitabu chake  ni kwa ajili ya kuwahadaa watu wepesiwepesi matajiri na masikini ,ili wampelekee khumsi za mali zao.

 Na  mwisho wa utafiti wa khumus sitosahau kuitaja kauli ya rafiki yangu mpenzi mshairi hodari Ahmad Al Safy Al Najafiy(r.a) ambae nilifahamiana nae baada yakupata shahada ya Ijtihadi tukawa marafiki wapenzi achilia mbali tofauti ya umri ilopo kati yetu , kwani alikuwa akinizidi kwa miaka takriban thelathini au zaidi ,nakumbuka alipo niambia mwanangu usiichafuwe nafsi yako kwa mali ya khumsi kwani ni mali ya haramu , na akanidadisi kuhusu khumsi mpaka akanikinaisha kua ni haramu , kisha akanitajia beti za shairi alilokuwa amelitunga kwa ajili hii, ambazo nilizihifadhi kwenye mfuko wangu wa kumbukumbu , na hapa ninazinukuu kwa kwa faida ya wasomaji watukufu kama zilivyo, anasema (r.a),

 “Nina washangaa watu, kuomba omba    kwa   kutumia dini yao  na vipi inawezekana kuomba omba  kwa mtu mwenye nguvu?

   Basi ikiwa kupata elimu ndio sababu ya kuomba omba  basi itakuwa ujinga ni bora kuliko elimu, na je katika zama za Mtume(s.a.w) kulikuwa na watu wanaoishi kutegemea mali za watu kwa jina hilo? Na hata kama Mwenyezi Mungu ameifaradhisha zaka basi hakuna kuchukuliwa kwa udhalilishaji basi kwa malengo, wametuletea  watoto wa  sasa ni kazi,na haikua kwa watoto ni geni hilo toka zamani.